JUNIOR

JUNIOR
MWANZA TANZANIA

like

Monday, July 27, 2015

PICHA: JR CATERING ILIVYOSHEREHESHA UMOJA WA WANWAKE TANZANIA SIKU YA UCHAGUZI VITI MAALUMU MWANZA



 wahudumu wa kampuni ya kutoa huduma ya chakula ya JR CATERING wakiwa wako kikazi zaidi wakati wa uchaguzi wa viti maalumu jijini mwanza
 mkusanyiko wa akina mama wa mkoa wa mwanza uliojumuisha wilaya zote za mwanza wakiwa katika ukumbi wa BWALO LA MAGEREZA butimba mwanza wakiwa katika foleni ya kupata huduma ya chai kutoka kwa wahudumu wa kampuni ya JR CATERING. wanawake hwa wote wanakadiriwa kuwa zaidi ya 750 waiohuhuria mkutano huo wa CCM
 mambo yakiwa tayari wakisubiri wajumbe wote wafika hapa kwa ajili ya kupata kikombe cha chai

 Bi Rachel wa kampuni ya JR CATERING akiwapa huduma ya chai  akina mama wenzake waliohudhuria mkutano huo mkuu wa ccm mwanza






No comments:

Post a Comment